NANDY ANUSURIKA KIFO - waleo blog

Breaking

Tuesday 4 June 2019

NANDY ANUSURIKA KIFO



BASI aina ya Coaster lililokua kwenye msafara wa kuelekea Nandy Festival Sumbawanga limepinduka Mikumi usiku wa kuamkia leo. Msafara huo ulikuwa na Wasanii Juma Nature, Whozu, Stamina,Nandy,Barnaba, Roma, Billnass, Ice Boy na Willy Paul.

Maneja wa Nandy amesema Basi lililopata ajali kwenye msafara kuelekea Nandy Festival Sumbawanga lilikua limebeba Wapiga Band na Dancers na sio Wasanii, mpaka sasa Majeruhi wako Hospitalini Mikumi, hakuna kifo na safari inatarajiwa kuendelea.


No comments:

Post a Comment

Pages