MR NICE AFUNJA UKIMIYA - waleo blog

Breaking

Sunday 16 June 2019

MR NICE AFUNJA UKIMIYA


#BURUDANI

Msanii mkongwe Mr Nice baada ya maneno mengi na kuambiwa amefulia hana tena uwezo wakipesa kama enzi zake za zamani amewajibu mashabiki wanaosema maneno kwa kutambulisha bidhaa yake mpya ya maji inayotambulika kwa jina la Mr Nice Water. . **HONGERA kumpongeza Mr Nice Mzee wa TAKEU

No comments:

Post a Comment

Pages