#NDONDI
Bondia kutoka jeshi la wananchi wa Tanzania bwana Suleiman Kidunda,awa gumzo siku ya tarehe 15/08/2020 baada ya kumtwanga makonde ya hatari mpinzani wake bwana Kaoneka ndani ya raundi ya 1 dakika ya 1 na sekunde kadhaa,kabla ya mpinzani wake huyo kuomba poo na hatimaye kuomba kustaafu michezo hiyo rasmi jana ndani ya ukumbi wa Mlimani city DAR....MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA ndio maneno ya Kidunda baada ya pambano.JWTZ rasmi sasa kushiriki ngumi za ridhaa.
No comments:
Post a Comment